SAFARI

 CHAWAKITASUZA tunaandaa safari mbali mbali za ndani na nje ya Zanzibar kwa lengo la kutangaza kiswahili na kukitangaza chama.

Pia safari zinaonesha uhai wa wanachama. 

Kuna safari za ndani na nje ya zanzibar.

SAFARI ZA ZANZIBAR

1. MWALIM NYERERE 



2.ABDUL-RAHMAN AL-SUMEIT UNIVERSITY.

sumeit wamepata nafasi ya kuwaalika waghani na watunzi mbali mbali wa mashairi wakiwemo
Dokta mashairi


Zero kasorobo



KONGAMANO LA SHAMRA SHAMRA ZA KUADHIMISHA SIKU YA KISWAHILI DUNIANI

AFISA HABARI AKIWASILISHA NGONJERA MATEMWE


VIONGOZI WAKUU WA MATAWI YA CHAWAKITA-ZANZIBAR WAKIONGOZA KONGAMANO

MJUMBE WA KAMATI TENDAJI YA CHAWAKITA-TAIFA Akitangaza chama kwa wanachama wapya matemwe.
Ngonjera iliyochezwa na wanafunzi wa chawakita-suza matemwe.
wanafunzi kutoka tawi la suza maruhubi wakiwasilisha utenzi wa kuisifu lugha ya kiswahili.






3. KIJIJI CHA MTENDE: CHAWAKITA-SUZA wameamua kwenda kumalizia sherehe yao katika kijiji cha mtende tarehe 13/11/2022 siku ya Jumapili. 










Maoni